Alikiba ametajwa kuwania kwenye tuzo za mwaka huu za MTV Europe Music Awards (EMA) kipengele cha Best African Act.
Anakuwa msanii pekee kutoka Afrika Mashariki kutajwa kuwania
kipengele hicho. Kiba atachuana na wasanii wengine wakiwemo Wizkid na
Olamide wa Nigeria na Black Coffee na Cassper Nyovest wa Afrika Kusini.
Kama ilivyokuwa mwaka jana, mshindi katika hatua ya kwanza ataendelea
kwenda kuwania kipengele cha Worldwide Act: Africa/India ambacho mwaka
jana alishinda Diamond Platnumz.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...