Sallam Sharaf, Ambae ni meneja wa Diamond, sasa ni meneja wa AY pia.
Sallam, Hermy B na AY
Taarifa hiyo imetangazwa Jumatatu hii na wao wenyewe.
Alianza AY aliyeandika kwenye Instagram: Great Team.. My Manager
@sallam_sk #Mendez & My Supa Dupa Producer @hermyb Nairobi..Much
next…Dar es Salaam #strictlyBusiness.”
Naye Sallam aliandika kwenye Instagram: GOODBYE NAIROBI…. Thank
You Again…!! And the Good news is @aytanzania he’s under my management.
What a Bless to manage THE LEGEND. Don’t Listen to THEY BE INSPIRED.”
Kitu ambacho huenda wengi hawajui ni kwamba Sallam na AY ni washkaji
na business partners wa muda mrefu. Wawili hao walikuwa wakifanya
biashara pamoja hata kabla ya Sallam kuwa meneja wa Diamond. Huenda sasa
wameona ni muhimu kuupeleka ushkaji wao kwenye level nyingine.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...