• Home
  • About

Holywood: Hawa ndo mastaa 10 walio ula pesa nyingi 2014 kupitia movie


Filamu zinalipa sana hasa kwa nchi za wenzetu, wamekuwa na mfumo mzuri ambao inakuwa rahisi hata kupata takwimu za kipato ambacho kupitia kazi hiyo wamekuwa wakikusanya kwa mwaka.
Jarida la Forbes limetoa orodha ya mastaa 10 walioongoza kwa kukusanya pesa nyingi kwa mwaka 2014, list yote iko hapa.
j lawrance
No.1Jennifer Lawrence, amekusanya kiasi cha dola za Marekani bilioni 1.40 kupitia kucheza movie peke yake ikiwemo movie ya The Hunger Games: Mockingjay na X-Men: Days of the Future Past.
chris prant
No. 2: Chris Pratt, dola bil 1.20 ndizo alizopata kupitia movie alizocheza, the Lego Movie na Guardians of the Galaxy.
scarlett
No. 3: Scarlett Johansson, amepata dola bilioni 1.18 kupitia movie, moja ambayo ameonekana 2014 ni movie ya Captain America: the First Avenger.
mark
No. 4: Mark Wahlberg, kipato chake ni dola bilioni 1 kupitia kucheza movie ya Transformer: Age of Extinction.
evance
No. 5: Chris Evance, amepata dola milioni 801 kupitia movie za Snow Piercer na Captain America: Winter Soldier.
emma stone
No. 6: Emma Stone, amejikusanyia dola milioni 764 kupitia movie kama Magic in the Moonlight, the Amazing Spiderman na Birdman mwaka 2014.

No.7: Angelina Jolie mwaka 2014 haukuwa mzuri sana kwake, kiasi alichoingiza ni dola milioni 758 kupitia movie ya Maleficent.
james
No. 8: James McAvoy, amekusanya dola milioni 747 kupitia filamu ya X-Men: Days of the Future Past na the Disappearance of Eleanor Rigby.
michael
No. 9: Michael Fassbender, amepata dola milioni 747 kupitia movie ikiwemo Shame na 12 years a Slave.
wolverine-jackman-_3150891k
No. 10: Hugh Jackman, Days of the Future Past imesaidia kumuingizia kiasi cha dola mil. 746 kwa mwaka 2014.

Post a Comment

LEAVE YOUR COMENT HERE...