Niki mbishi ame mjibu Nay wa mitego baada yaku mchana kutokana na kutangaza kuachana na muziki. Niki mbishi ame mjibu Mr.Nay kwa njia ya freestyle . Kwenye free style hiyo niki ame sikika aki sema "Hakuna ku sanda kukaza mpaka A to zii, Mna ongelea aka dumba how is Nay to me". Zaidi listen hapaa..
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...