Katika maonesho ya 38 ya sabasaba yanaendelea katika eneo la Sabasaba, Dar
es Salaam. Makampuni, vikundi na watu mbalimbali wamefika kwa wingi
kuonesha bidhaa zao kwa mtindo utakaowawezesha kuwa karibu zaidi na
wateja wao.
Kundi la Ucheshi la ‘Original Comedy’ linaloundwa na wachekeshaji
kama Joti, Masanja Mkandamizaji, Wakuvanga, Mpoki na Mack Regani
limeanzisha mgahawa halisi kwenye maonesho hayo ambapo wasanii wa kundi
hilo ndio wahudumu.
wasanii wa kundi hilo wamesema kuwa
wamefanya hivyo kwa lengo la kuonesha biashara yao, kuwa karibu zaidi na
mashabiki wao na kwamba wanaendelea kuwahudumia na kupiga nao picha kwa
muda wote watakaokuwa katika maonesho hayo.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...