STAA
wa sinema za Kibongo,Wastara Juma ‘Wastara’amepost picha mbalimbali
kupitia account ya instagram zikimuonyesha kuwa anavishwa pete nchini
Uingereza na mwanaume ambaye hajajulikana jina lake na haijajulikana
kama ni filamu au ni kweli.
Kupitia
mtandao huo msanii mwenzake Riyama aliandika hivi ...Amakweli mungu
akitaka kupa haiandiki barua......... kila lakheri mama. Na kuwaacha
mashabiki wao wakiwa hawana majibu ya uhakika.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...