Kupitia hit single yake ya 'My number1 rmx' aliyo shirikiana na Davido ndiyo iliyo mpa tiketi yakuwa nomited katika kipengele cha 'Best International Act:Africa', Ambapo ana chuana na wasanii kutokea nchi mbali mbali za Africa kama Davido (Nigeria), Mafiki zolo (Afrika kusini), Serkodie (Ghana) na Tiwa savange (Nigeria).
Platnumz ndiye msanii pekee wa Afrika mashariki katika tuzo hizo.
#BETAWARDS BEST INT'L ACT AFRICA NOMINEES: @iam_Davido @DiamondPlatnumz @MafikizoloSA @sarkodie @TiwaSavage & Toofan http://t.co/Oimpo9YVGK
— #BETAwards (@BETAwards) May 14, 2014
Hivi ndivyo ilivyo andikwa kwenye mtandao wa www.bet.com
BEST INTERNATIONAL ACT:AFRICA ''NUMBER ONE'' (TANZANIA)
Tanzanian star Diamond Platnumz become a global force with succes of his hit '' Number one" and that wav may continue with a win for best International Act:Africa
Sherehee za ugawaji wa tuzo hizo zita fanyika tarehee 29 June huko Lis Angeles Marekani,
Tuzo hizo hu andaliwa na kituo cha Black Entertainment Television, Nazili anzishwa Mwaka 2001 lengo likiwa ni kusherehekea kazi za wa Marekani weusi ikiwamo muziki,Filamu na maeneo mengine ya burudani.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...