Wabunge wapya walio ingia bungeni kwa mara yakwanza wame apishwa leo ikiwa ni pamoja na ufunguzi wa bunge la bajeti ambalo lime anzaleo.Wabunge hao ni pamoja na Ridhiwani Kikwete akiliwakilisha jimbo la chaliinze na mbunge Godfrey Mgimwa kutoka jimbo la Kalenga.Hizi ni baadhi ya picha ziki onyesha kuapishwa kwao huku waki shuhudiwa na viongozi wenzao pamoja na baadhi ya ndugu zao wa karibu.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...