Watengenezaji wa filamu ya Mdundiko wame amua kuja n afilamu mpya inayo enda kwa jina la dogo masai.
Dogo masai ina zungumzia kijana James ane amua kuu vaa uhusika wa uma sai baada yaku tupwa porini na kudhulumiwa mali zake na uncle wake 'TINO' na kisha kuokotwa n awa masai.
Ni filamu yaku sisimua hasa kutokana na vituko vya Dogo masai ambapo ana ingi mjini kuzi saka mali za alizo dhulumiwa.
Washiriki katika filamu hii ni pamoja na TINO MUYA,OMMARY CLAYTON,JAMES SAMUEL,MAINDA SUKA nawengine kibao.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...