Viongozi
mbalimbali wakiwemo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania
Gharib Bilal, Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick na kamanda
wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova walianguka na
Helikopta asubuhi ya leo kwenye uwanja wa ndege Dar es Salaam
Helikopta hiyo ilianguka wakati ikipaa kuwapeleka viongozi hao kwenye maeneo tofauti yaliyoathirika na mvua zinazoendelea kunyesha lakini hata hivyo hakuna aliyefariki katika ajali hiyo.
Helikopta hiyo ilianguka wakati ikipaa kuwapeleka viongozi hao kwenye maeneo tofauti yaliyoathirika na mvua zinazoendelea kunyesha lakini hata hivyo hakuna aliyefariki katika ajali hiyo.
Magari ya zima moto yaki uzima moto ulio taka kutokea. |
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...