Tovuti ya Tuko ya nchini Kenya imeripoti kuwa baba yake alifariki kwa ugonjwa wa moyo uliomsumbua kwa miaka mingi. Umedai kuwa alipata mshtuko wa moyo wiki chache zilizopita na kulazwa kwenye wodi ya wagonjwa mahututi. Aliruhusiwa baada ya kupata nafuu.
Avril amepost picha hiyo chini na kuandika: Rest Now..
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...