Alikiba hivi karibuni anaweza akawapa tabasamu mashabiki wake kwa kuwapa walicho kihitaji na kuki subiri kwa hamu kubwa..
Alikiba akiwaon set.
Mwana muziki huyo (Ally Kiba) anashoot video nchini Afrika Kusini na muongozaji Meji Alabi.
Kupitia ukurasa wa Facebook, Alikiba amepost na utengenezaji wa video hiyo na kuandika:
Music video shoot in South Africa at 3 degrees celsius… We keep rolling!
Muongozaji Meji Alabi akiwa kazini
Hivi karibuni mashabiki wa Alikiba walilalamika kuchelewa kwenye video ya Chekecha na kudai kuwa anawaangusha.
Alikiba akiwa na Meji Alabi
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...