Dogo Janja (kulia) akiwa na Madee
Dogo Janja ameiambia Bongo5 kuwa licha ya kuwa hajatoa ngoma yoyote ndani ya kundi hilo lakini anaishi maisha mazuri.
“Nashukuru Mungu nipo mikono salama, naishi vizuri Tip Top ingawa sijatoa ngoma mpaka sasa. Naishi vizuri yaani maisha ni mazuri tu,” amesema Janjaro.
“Unajua ndani ya Tip Top kuna utaratibu wa kutoa ngoma kwa zamu, hivi karibuni itasikika ngoma ya Raymond, halafu itakuja ya Tip Top na baada ya hapo utasikia yangu. Kwahiyo mimi nasikilizia utaratibu.”
credit: bongo5.com
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...