Wasanii tokea Kenya wanao unda kundi la Sauti souls kupitia ukurasa wao wa twitter wame mpongeza Diamond Platnumz kwakuchukua tuzo 3 za Chanel O nchini South africa.
Wakiwa wakilisha tuzo kwa Tiwa savage tokea Nigeria juzi nchini South Africa. |
Diamond akiwa na tuzo 3 alizo shinda channel O |
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...