Mshiriki mwakilishi wa Tanzania aliyebaki ndani ya jumba la Big Brother Hotshots, Idris mpiga picha kutoka Arusha, Tanzania ameshinda kuwa kiongozi wa jumba 'Head of House' la BBA Hotshots wiki hii.
Mr. 265, Frankie, Nhlanhla na Idris walikuwa washiriki katika shindano la Ghandour Putt-Putt Golf Course Tournament kumtafuta kiongozi wa jumba hiyo wiki hii.
Katika shindano aliyepiga mpira mara chache zaidi ndiye aliyeibuka mshindi na kumpa faida ya kutokuchaguliwa kutoka ndani ya jumba hilo.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...