Rapper T.I Baada ya ku dondosha bonge la show Jumamosi ya tare 18 oct , aliondoka Tanzania Jumapili kurudi
kwao Marekani kwa ajili ya kuhakikisha mauzo yanaenda vizuri katika
album yake mpya ilikua inatoka Jumanne ya October 21.Akiwa NewYork T.I
alijikuta yuko mbele ya camera akihojiwa na mwandishi wa habari
aliemuuliza kuhusu ishu ya Iggy na Snoop ambayo alisaidia kuimaliza na
baada ya hapo akamuuliza T.I vp Tanzania ilikuaje? Ebola je?
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...