Hamisi mwinjuma au Mwana F.A amesema Mafanikio ya Diamond katika
Music na Maisha ya kila siku yalitakiwa yawaMotivate wasanii na watu
wengine kufanya vitu bora zaidi na kujifunza kutokata tamaa badala ya
kumshindanisha na wasanii wengine, Kwa upande wake amesema Floyd
Myweather au Mr.misifa kama alivyomuita,…
Hamisi
mwinjuma au Mwana F.A amesema Mafanikio ya Diamond katika Music na
Maisha ya kila siku yalitakiwa yawaMotivate wasanii na watu wengine
kufanya vitu bora zaidi na kujifunza kutokata tamaa badala ya
kumshindanisha na wasanii wengine, Kwa upande wake amesema Floyd
Myweather au Mr.misifa kama alivyomuita, anampa Hasira ya kufanya kazi
kwa nguvu zaidi kwasababu ya sifa zake . Mwana F.A amesema watu
hawatakiwi kumjaji mtu kwa vitu vidogo anavyovionesha labda kuna vitu
vikubwa zaidi anavyoweza akawa anavifanya na havioneshi kama kusaidia
watu na kadharika.
Alipoulizwa kuhusu tukio la kuzomewa kwa diamond siku ya Tamasha la Serengeti Fiesta Mwana F.A amesema ni ajali kazini.
CREDIT TEAMTZ.COM
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...