Msanii mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo Mzee Manento ame iaga
dunia hiyo jana katika hospitali ya Tmj. aki ongea msanii mwenzake
Mohamedi Olotu "Mzee chilo" ame sema kua ame zi pata taarifa hizo na
yupo njiani kujua wapi msiba huo utakapo fanyika ila kwa sasa hajui.
Mzee maneto ame cheza filamu kadha zikiwemo Dar to Lagos aliyo icheza
na marehemu Steven Kanumba, The herow of the church, Fake pastors na
zingine nyingi.
Mungu ai laze roho ya marehemu mahala pema peponi amin
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...