Siku ya jana ilikua ni kumbukumbu ya mwaka mmoja ume timia tangu atutoke Msanii wa muziki Albert Mangwair. Producer aliye wahi kufanya naye kazi kwa kippindi kirefu P-Funk ali enda morogoro aki ongozana na msafara wawatu kadha kwa ajili yaku zuru kaburi lake lililopo kihondo nje kidogo ya mji wa Morogoro.Tizama hapa picha za P-Funk akiwa na msafara katika makaburi hayo.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...