The Good news ni kwamba katika mchakato wa kura sasa hivi Diamond
ameshika nafasi ya pili katika list ya Wasanii wote sita ambapo kama
Watanzania wataendelea kumpigia kura kwa kasi na kumzungumzia kwenye
mitandao ya kijamii basi anaweza kushika nafasi ya kwanza kwa kumpiku
alie juu yake ambae kamzidi kwa asilimia 5 tu.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...