Gareth Bale jana usiku aliibuka shujaa wa mamilioni ya mashabiki wa
Real Madrid baada ya kufunga bao la ushindi liloipa klabu yake ubingwa
wa kombe la Copa Del Rey mbele ya FC Barcelona katika mchezo uliopigwa
jana usiku kwenye dimba la Mestalla huko Valencia.
Tazama video ya magoli ya hii mechi hapa chini ambayo iliyoisha kwa Madrid kushinda 2-1 pia ungana nami
Video hii hapa..
Real Madrid vs Barcelona 2-1 by FootyLight0
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...