Producet wa muziki bongo P-Funk majani aka 'Dream big' ame funga pingu za maisha na msichana tokea ARusha aitwae Hidaya.Producer huyo n mmiliki wa Bongo records ali andika kwenye ukurasa wake wa tweeter na insta gram kua “Finally I made the big move.”Ndoa hiyo ili fanyika jijini Arusha.
Bwana harusi akimvisha mkewe pete
Hidaya mtoto wa Arusha aliyebahatika kuuteka moyo wa P Funk akimvisha pete mume wake
Mashallah Mr & Mrs Majani
Mrs Majani aka Hidaya akiwa na kichuna chao Parveen
Maharusi mara baada ya kufunga ndoa yao
Bi harusi akiwa na mashoti zake
CREDIT :JESTINAGEORGE
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...