Baada ya maneno kuzagaa kwenye mitandao mbalimbali juu ya kuvunjika kwa kundi la Psqure ukweli upo hewani,maneno hayo yali sababishwa na tweet ya kaka yao Jude Okoye ambae ndio anae wa manage kwenye kazi zao za muziki.
Ila ukweli uliopo nikwamba hawaja wahi kusikia hata mtu akisema juu ya wao kutengana.
“I
am too busy to give some wanna be blogger traffic, I don’t know where
that report is coming from. Maybe they just want to get traffic to their
site. It’s baseless and untrue.” alisema msemaji wa kundi hilo
ajulikanaye kama Bayo Adetu...
Inasemekana kuwa tweet hiyo iliyosababisha uvumi huo, ni kutokana tu na kaka yao huyo Jude Okoye ambaye haziivi kabisa na mke wa Peter
Okoye aiywaye Lola Omotayo, na wala haikuhusiana na kundi lao la Psquare.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...