Vijana wa ki Tanzania chini ya Mkubwa Fella Yamoto Band wamewasili jana nchini Afrika
Kusini (South Africa) , ambako wameenda kufanya shooting ya video yao ya kwanza kuwahi kufanya na
director mkubwa wa nje ya nchi, Yamoto na uongozi wao wakifanya kikao
na Godfather..
Yamoto Band wameshare picha wakiwa Afrika Kusini na uongozi wao, Said
Fella, Babu Tale na Diamond. Katika picha hizo walionekana wakiwa
kwenye kikao na director atakayefanya video yao Godfather.
“Hii ni mipango ya video jinsi itavyokuwa yani jinsi gan itaanza na
itaisha asante mungu asante pia@mkubwafella @babutale
@diamondplatnumz@i_am_godfather dua zenu 2 wadau amen.” aliandika
muimbaji wa band hiyo Beka kwenye moja ya picha hizo.
“Mikakati inaanza na @i_am_godfather na vijanaa wa @yamoto_band
kuhusu video kesho na kaka yao @diamondplatnumz mungu tushikie wajawako
na hili” Aliandika Babu Tale
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...