Diamond Platnumz anafuata nyazo za wasanii wakubwa kama Dr. Dre, Ludacris, DJ Khaled, 50 Cent na mastaa wengine walioingia kwenye biashara ya headphones.
Staa huyo ametangaza hatua hiyo kubwa wakati akimpongeza Flaviana Matata katika birthday yake.
“Kama hauna taarifa bado huyu ndio aliyefanya Account yangu ya Facebook kuwa Verified,” ameandika Diamond.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...