“Kinacho wakosti watu wengi ni kwa sababu kila mtu amekuwa akitengeneza picha yake kichwani ya video ya wimbo,” alisema. “Sasa inakuwa tofauti kutengeneza picha kwa kila mtu. Kuna watu wengi wametoa maoni yao na wamekubali video na wameipenda na sisi tumekubali ile concept ya design ile ni concept ya mazingira, yaani najua kitu ambacho watu walitaka kukiona kwahiyo tumeamua kwenda tofauti. Wakati mwingine kwenye muziki unatakiwa kuwa tofauti na usiogope challenge na kufanya kitu tofauti. Suala la low budget video tumeshoot Nairobi na imelipwa hela ambayo siwezi kukwambia kwa sababu hatupendagi hivyo vitu lakini labda ukimpigia director Enos Olik.” Alisema Joh Makini ambae kwa sasa ana tamba na video mpya ya Xo aki mshirikisha G-nako Ikiwa under Director Nisher Toka Nisher Entertainment..
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...