Diamond Platnumz ame amua kusafiri hadi nchi south Africa kwenye mji wa Cape town Kimya kimya kwenda ku shoot video ya wimbo alio shirikishwa na msanii tokea Nigeria Waje. Video iyo ime shootiwa katika fukwe za bahari ya Atlantic jijini Cape town. Tizama picha zaidi
On set |
Diamond akiwa na Waje |
Picha hii ilionekana Insta gram ikiwa ime postiwa na Jesse Ebuka Okoli akiwa kaiandika ujumbe " On set yesterday with the ever amazing @Official waje ft Diamond #Coco music baby official video. |
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...