Star, mkongwe wa muziki wa bongo flavour na Mmiliki wa Top Band, TID amegeuka mbogo baada Ray C kumuomba kupitia Instagram wazugumze.
Star huyo ambae ni mmoja kati ya wasanii wanao daiwa kutumia madawa yakulevya huenda alihisi Ray C anataka kumletea habari za kumsaidia
kuachana na matumizi ya dawa hizo kupitia Methadone.Ndipo aka mshushia maneno..
“Come let’s talk Tid ur the best musian in east Africa pls lets talk @tidmnyama.” Aliandika Ray C.
Ingawa Ray C hakufafanua katika comment yake aliyoiweka kwenye post
ya picha ya TID inayotambulisha Refix ya wimbo wake ‘Asha ‘ uliofanywa
na Lamar, TID aliporomosha matusi akimtaka aachana nae kabisa.
“B*tch leave me alone am not ur type also I don’t need shit from
you. Ur mistake is urs nakuomba can u just f**k off, help ur boyfriend, I
have never liked you, full stop.”Ameandika TID
Hata hivyo mashabiki walioandika comments zao walimshambulia tena TID
kutokana na kile alichomjibu Ray C ambaye hakutaja kabisa nia ya kutaka
kuzungumza na Mnyama TID.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...