"Shukrani zangu za dhati ziende kwenu Wadau na Mashabiki zangu kwa Kura zenu nyingi mlizonipigia kwenye Tuzo za Kora na Kunifanikisha kushinda "Platinum Certificate" ya kuwa Msanii Bora wa Kiume Toka East Africa... Next stop! Afrimma Awards, Let's Go get it Hommies!!!!!". Hiki ndicho alicho andika kupitia ukurasa wake wa Face book.
Post by Diamond Platnumz.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...