Mwili wa marehemu George Tyson una tarajiwa ku agwa siku ya
kesho(June4) jumaa tano badala ya leo. Mwili wa marehemu una tarajiwa
kupelekwa nyumbani kwake Mbezi makonde leo jioni saa kumi kwa ajili yaku agwa kifamilia.Na
kuagwa kesho saa nne katika viwanja vya leders, Baada yaku agwa kwa
mwili uta pelekwa air port naku safirishwa kwenda kwao Kisumu nchini
Kenya.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...