Msanii wa filamu za vichekesho hapa bongo Salma jabu almaarufu 'Nisha' ame sema kua huwa ana ona aibu kutizama filamu alizo cheza yeye hasaa za commedy kutokana na vituko anavyo vifanya kwenye filamu hizo,
Nisha ambae ame cheza filamu nyingi zikiwamo Pusi na Paku , Gumzo,Tikisa na nyinginezo ikiwamo na Zena na betina ambayo ina tarajiwa kuingia mtaani mwishoni mwa mwezi huu akiwa kashirikiana na Hanifa Daudi 'Jennifer'.
Cover la movie yake mpya ya Zena na Betina |
Akitoa hisia zake kwa moja wa mashabiki zake walio msifia kwa kazi zake
|
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...