"Sasa kila mtu akawa ana kuja hatari ' Kuna watu wengi sana na watu wana zidi hadi nafasi hakuna,Kwa hiyo maneno ya watu yakawa yana ni changanya,Wana jua kuna mtu mwingine ana kuja fanya shoo ya uhakika.Baada yaku muona Naseeb pale ndio nka pata shock.Yeye ndio akanimbia 'Sikiliza niku ambie dada yangu,Usi fanyenini fanya shoo nzuri".
Akasema kumuona kaka yake huyo kuka mfanya alie machozi ya furaha maana haku tegemea kumuona kaka yake siku hiyo akim support.
Alisema kupitia show hiyo kume mfanya aji gundue kua kumbe ana washabiki wengi kiasikile hivyo ana takiwa kuchukulia muziki sirious sio kama ilivyo hivi sasa.Kupitia show hiyo pia ame sema ame weza kupokea simu kadha kutoka kwa ma promota akiwemo kutokea nchini DR CONGO
MSIKILIZE HAPA
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...