"Mrembo wa Tanzania , Muigizaji na mjasiria mali Wema sepetu, ame sign makubaliano yakua balozi wa Hospitalii ya kimataifa ya macho iliyopo AllHassan mwinyi road katika jengo la tropical House #Mkataba huu niwa mwaka mmoja .. Wema ame ahidi kua balozi wa hospitali hiyo iliyo kuja na mitambo mipya ambayo itawezesha vijana walioko chini ya umri wa miaka 35 wanao tumia miwani kuacha kabisa kutumuia miwani kwakua wana uwezo wakuondoa suala la uvaaji wa miwani kwa vijana "
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...