Mzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza
Ally ‘Mama Sasha’ amewafungukia watu ambao wanamponda yeye kutinga na
‘pampers’ ukumbini na kusema kuwa hiyo ni moja ya maamuzi yake binafsi.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Faiza aliyetinga vazi hilo katika siku
yake ya kuzaliwa hivi karibuni, alisema kuvaa vile hafikiri kama kuna
ubaya kwa mtu yeyote kwa kuwa kila mmoja ana maamuzi yake na hakumdhuru
mtu.
“Mimi na maamuzi ya kuvaa chochote ambacho najisikia na kama hakina
shida na mtu nakivaa na kuvaa vile ni moja tu ya kusherehekea siku yangu
ya kuzaliwa na nilitaka kuwa tofauti,” alisema Faiza kuwajibu wadau
mbalimbali ambao wamekuwa wakimponda mtandaoni juu ya tukio hilo
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...