Niki wa II kutokea kundi la weusi akishirikiana na Benpoul pamoja na member mwingine kutokea ndani ya kundi hilo la weusi Gnako ana kuja na kitu kipya kinacho tarajiwa kuachiwa tarehee kumi na nane mwezi huu.Ngoma hiyo iliyo pewa jina la 'Sitakikazi' ina mchanganyiko wa RnB ikiwa chini ya producer Nahreel.
Post a Comment
LEAVE YOUR COMENT HERE...